Posts

Showing posts from March, 2018

HISTORIA YA MWANAMAPINDUZI GUEVARA

WASIFU WAKE Jina kamili : Ernesto Guevara Kazi : Daktari, mwanamageuzi wa kijamaa (marxist) Uraia : Argentina Kuzaliwa : June 14, 1928 Kufariki : October 9, 1967 Mahali alipofikwa na umauti : Bolivia katika milima ya La heguera Chanzo cha kifo chake : kuuwawa kwa kupigwa risasi MAISHA YAKE KWA UJUMLA Kama kijana msomi wa shahada ya udaktari, che Guevara alisafiri nchi nyingi sana huko bara la Amerika ya kusini na rafiki yake, akawa ni mtu mwenye uchungu mkubwa kuona maisha ya dhiki,njaa, magonjwa nchi za America ya kusini, akawa na mwamko mkubwa kubadili hali ile kwa kuwa aliamini ya kuwa mfumo wa ubepari ndio chanzo kikubwa kilichokuwa kinaitafuna Latin America. Miaka ya 50 akiwa anasoma udaktari huko Mexico Che Guevara alikutana na Fidel Castro na Raul Castro ambapo watatu hao walipanga mapinduzi ya kumg’oa raisi wa Cuba wakati huo Fulgencio batista ambaye alikuwa na huhusiano wa kimaslahi na America, Che akapata nguvu na uaminifu mkubwa kutoka kwa Fe...

CIVICS FORM ONE , TOPIC. OUR NATION

OUR NATION When two people of the opposite sex get together as husband and wife, they form a family. A family is social group of people who are closely related to each other. A combination of various families forms a Clan. A group of different clans form tribes who have the same Culture, History and Language. The combination of various tribes makes up the population of a nation. A Nation can be defined as a large group or community of people living in a defined geographical area and sharing a common history, culture and language under one government. Examples of nations includeTanzania, Japan, Zimbabwe, India and Uganda. A nation should be recognized by other nations as a sovereign state and should be free to decide and implement its own policies. It should not be part of another nation nor should it be under the control of another nation. The Components of our Nation The Components that Make up our Nation To be able to analyse the components that make up our nation ...